Friday, July 3, 2026
Back to news
News

Timu ya taifa yajiandaa kwa mashindano ya ukanda

WP
Weledi Press Desk
Published Jul 3, 2026 ยท 5:59 PM
Kikosi cha taifa kimeanza kambi ya mafunzo jijini Dar es Salaam kikijiandaa na mashindano ya ukanda yanayotarajiwa kuanza mwezi ujao. Kocha amesema ana matumaini makubwa na vijana wapya.
More stories © 2026 Weledi Press